Balozi wetu wa kudumu Umoja wa Mataifa Mh Ombeni Sefue na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh Mwanaidi Sinare-Maajar wakiwa wenye furaha baada ya kufanikisha ziara ya Rais Jakaya Kikwete iliyohusika na kuhudhuria Mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa na mkutano wa Diaspora Council of Tanzanian in America (DICOTA jijini New York na Marekani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...