Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na baadhi ya wafanyakazi wa hoteli ya Jumeirah Essex House jijini New York wakati akiondoka leo asubuhi kuelekea nyumbani baada ya kuhitimisha ziara yake iliyofana sana. ikihusu kuhutubia Mkutano wa 66 wa Umoja wa Mataifa na kuhudhuria mkutano wa Diaspora Council of Tanzanians in America (DICOTA CONVENTION 2011) huko Virginia, Washington.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...