Familia ya Mr and Mrs Biseko na Faress Magesa ya Berien Spring Michigan, USA, na Tanzania, inasikitika kutangaza kifo cha baba yao, Dr. Isarael Magesa (pichani), kilichotokea Niles Michigan, Siku ya Alhamis, September 15, 2011. Marehemu ameacha watoto watatu:Biseko, Rehema na  Fares  pamoja na wajukuu wanne:Deborah, Sam, Emmanuel na Helina

 Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa Biseko Magesa katika address hapo chini. Mungu aiweke roho ya marehemu  katika pumziko la milele Amen.

 Account maalum imefunguliwa kwaajili ya kukusanya michango ya rambirambi na kusaidia gharama za mazishi.
 Gharama za funeral home na mazishi kwa ujumla ni $9863.75


Tafadhali tunaomba mchango wako wa hali na mali ili kuweza kufanikisha kumpumzisha baba yetu katika nyumba yake ya milele.
Account maalum ni kama ufuatayo:-
  BISEKO MAGESA
 9097 U.S 31
 Berrien springs, MI 49103
 UNITED FEDERAL CREDIT UNION
 ACC#  0193011
 Routing  & Transit # 272484894
  Address ya Biseko:-
 6543 Deans Hill Rd 
 Berrien Center
 Michigan 49102
             Dorothy:           269-313-6043     
     Fares 269- 470-1174


RSVP Stephen Mndalila:

Mwenyezi Mungu awabariki wote.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Poleni wafiwa wa Dr Magesa. Wakati umefika kwa watu kama hawa kujiwekea "Funeral Insurance", maana ni aibu Doctor mzima wa Ughaibuni hana $10,000 za kuzikia!!

    ReplyDelete
  2. Wanataka kuchangiwa kwa sababu na wao pia huchangia watu wengine wakiwa na shida lakini sidhani kama kundi lote hilo hapo juu la familia wanashindwa kuchukua overdraft ya $1000 kila mtu wakamzika baba yao. Haya nyie wamarekani wachangieni wenzenu, mkichanga japo $20 kila mmoja wenu mlivyo wengi hamtakosa hizo pesa sio kila siku kuchangia siasa na maandamano!

    ReplyDelete
  3. We anonynous wa kwanza hauna upeo kabisa. Unatoa kashfa kwa mtu aliyefariki? Hii ni dharau kubwa sana. Je ulikuwa unajua mchango wake kwa familia na jamii wakati wa uhai wake? Usitoe hukumu ya maisha ya mtu sembuse mtu usiyemfahamu na ni marehemu (you insensitive *******). Poleni sana watoto wa marehemu pamoja n ndugu wengine; msijali wapuuzi hawa wenye maoni ya kejeli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...