Jumuiya ya Watanzania waishio New York na vitongoji vyake inatoa salamu za rambi rambi kwa wale wote waliofiwa au kupoteza ndugu na jamaa katika ajali mbaya ya kuzama kwa feri iliyokuwa ikielekea Pemba jana usiku. Vile vile tunawapa pole wale wote waliopata majeraha mbali mbali katika ajali hii.
Tunaomba Mwenyezi Mungu aziweke mahali pema peponi roho za wote waliopoteza maisha yao.
Vincent L. Mughwai
NYTC-Secretary

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...