Asalaam Aleykum Warahmatullah.
Kwa niaba ya uongozi na marafiki wa Kisiwa cha Mafia (Friends of Mafia Island) tungependa kutoa salaam za Rambi Rambi wa wenzetu toka visiwa vya Unguja na Pemba ambao wamepatwa na mtihani mkubwa wa kupotezewa ndugu, jamaa na marafiki zao.
Tungependa kuwafahamisha wana Unguja na Pemba kuwa sisi wana Kisiwa cha Mafia tuko nanyi kwenye kipindi hiki cha huzuni kubwa kwani tunajua fika adha ya usafiri wa Baharini.
Wenzetu wametangulia mbele ya Haki nasi tuko njiani
Inna Lillahi wa Inna Illahi Rajuun
Imetolewa na idara ya habari ya Friends of Mafia Island.
http://www.friendsofmafiaislan d.com/
Kwa niaba ya uongozi na marafiki wa Kisiwa cha Mafia (Friends of Mafia Island) tungependa kutoa salaam za Rambi Rambi wa wenzetu toka visiwa vya Unguja na Pemba ambao wamepatwa na mtihani mkubwa wa kupotezewa ndugu, jamaa na marafiki zao.
Tungependa kuwafahamisha wana Unguja na Pemba kuwa sisi wana Kisiwa cha Mafia tuko nanyi kwenye kipindi hiki cha huzuni kubwa kwani tunajua fika adha ya usafiri wa Baharini.
Wenzetu wametangulia mbele ya Haki nasi tuko njiani
Inna Lillahi wa Inna Illahi Rajuun
Imetolewa na idara ya habari ya Friends of Mafia Island.
http://www.friendsofmafiaislan
Kaka, kwa moyo mkunjufu tunapokea rambi rambi zenu.Tunaelewa hisia mlizonazo katika msiba huu, hasa ikizingatiwa kua nanyi ni wana visiwani hivyo mnaelewa adha za usafiri wa bahari pamoja na maumivu ya ajali za namna hii.Jazak -Allah- fiq.
ReplyDelete