Watu mbali mbali kutoka kila sehemu na kujionea ni jinsi gani watanzania walivyo na mwamko wa maendeleo. Na pia Mdau anapongeza hotuba ya rais wetu aliyoitoa siku ya ufunguzi wa mkutano huo. Tunaomba yale yaliyo ongelewa yaweze kufanikiwa, mungu ibariki Tanzania mungu ibariki Africa.
Mdau NY Ebra akiwa na Shamim Mwasha wa 8020Fashions Blog mara baada ya kumalizika kwa mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. heee, eric nakuona unauza sura na glass ya budweiser hapo arusi lini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...