Wasanii wanaochipukia katika muziki wa kizazi kipya wakitumbuiza katika uzinduzi wa promosheni mpya ya Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom ijulikanayo kama MEGA inayomuwezesha mteja wa Vodacom kujishindia TV ya Samsung.
Baadhi ya wasanii wadogo wa kizazi kipya wakitoa burudani ya muziki wakati wa uzinduzi wa promosheni mpya ya MEGA iliyozinduliwa rasmi hivi karibuni eneo la Mbagala,Jijini Dar es Salaam na Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...