Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dk.Emmanuel John Nchimbi akiwa katika picha ya pamoja na Baraza jipya la Michezo la Taifa (BMT) aliloliteuwa wiki iliyopita mara baada ya kulizindua rasmi leo.Waziri Nchimbi amelitaka Baraza hilo kuhakikisha linatafuta tatizo la kwanini hatufanikiwi katika sekta ya michezo hapa nchini na kulitatua kabisa tatizo hilo.
Home
Unlabelled
BARAZA JIPYA LA MICHEZO NCHINI (BMT) LAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...