Bondia Deo Njiku akifanya mazoezi ya misuri ya tumbo kwa kutumia viaa vya kisasa kwa ajili ya kujiandaa na mpambano wake wa ubingwa zidi ya Jonas Segu wa Dar es Salaam litakalofanyika Uwanja wa Jamuhuri Morogoro wiki ijao
Kocha wa Mchezo wa ngumi, Boma Kilangi (kushoto) akimsimamia mazoezi bondia Deo Njiku wa Morogoro wakati wa mazoezi yake ya kujiandaa na mpambano wake wa ubingwa zidi ya Jonas Segu wa Dar es Salaam litakalofanyika Uwanja wa Jamuhuri Morogoro wiki ijao
Bondia Deo Njiku akifanya mazoezi ya misuri ya tumbo kwa kutumia viaa vya kisasa kwa ajili ya kujiandaa na mpambano wake wa ubingwa zidi ya Jonas Segu wa Dar es Salaam litakalofanyika wiki ijayo.
(picha na www.superdboxingcoach. blogspot.com)
Bondia sasa mbona kavaa Timbalands badala ya viatu vya mazoezi?
ReplyDeleteI hope they have disinfected wipes or viruses killer as the dude is bare chest and all the sweat is going everywhere. It is time for the Boxing association to do something to invest on these local boxes especially on equipments...come on u can do it...
ReplyDelete