Watoto wakicheza ngoma ya msewe ya Zanzibar
Wasanii wa Kikundi cha Orijino Comedy kikionyesha zoezi la kunawa mikono wakati wa maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani lililofanyika leo jijini Dar es salaam ambapo mgeni rasmi alikuwa mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete hayupo pichani
Mama Salma Kikwete akiwaonyesha watoto zoezi la jinsi ya kunawa mikono kwa sabuni wakati wa maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani
Sehemu ya tukio lilifanyika sherehe ya maadhimisho ya siku ya kunawa mikono duniani
Baadhi ya watoto wa shule za msingi jijini Dar es Salaam wakiangalia aina ya kibuyu chirizi ambacho hutumika kuweka maji kwaajili ya kuoshea mikono.
Watoto wakitoa burudani.
Picha na Mwanakombo Jumaa - MAELEZO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...