hivi sasa kuna gari moja la abiria lisilo na route maalumu lipo huku External makuburi na abiria wake wote, baada ya abiria hao kugoma kushuka wakidai wanataka kupelekwa kwao.
Sakati hili linaonyesha abiria hao wanaelekea mbezi na dreva wa daladala hilo alipakia mpaka kimara lakini abiria kugoma kushuka wakidai wapelekwe mbezi, ndipo dreva na konda wakaamua kuwarudisha ubungo ili wawarudishie nauli lakini abiria hawa wamegoma kushushwa. Ndipo dereva akaamua kulileta gari huku kwetu linapolala with FULL OF ABIRIA. Chakuchekesha zaidi abiria walipotaka mpiga dreva wanakijiji wa huku wametishia kuwa piga abiria kwani dreva ni mtu wa hapo kitaani.
Hivi sasa polisi wa kituo cha BUGURUNI wamefika na crusel yao mara baada ya askari ya external police post kushindwa kutatua tatizo. Na naona wamekubaliana gari liende URAFIKI.police.
Mdau Gango
Kweli Bongo tambalale..
ReplyDeleteKinachowasumbua ni ukosefu wa Elimu
Hivyo ustaarabu hakuna kabisa.
Hicho ndicho pekee cha kujivunia kwa miaka 50 ya uhuru.
Wewe mdau wa hapo juu nani aliyekosa elimu hapo au nani si mstaarabu?
ReplyDeleteFafanua tuelewe ni dereva au abiria?