Hii ni sehemu tu ya foleni katika barabara ya Old Bagamoyo road jijini Dar ambayo imekuwa kero kubwa asubuhi na jioni kuokana na wingi wa magari kuanzia Msasani kwa Mwalimu hadi Mlalakuwaa darajani. Je, halmashauri za jiji hili limeshapata kufikiria namna ya kutatua tatizo hizi kwa mfano kwa kuanzisha ushuru wa barabara kwa anayetaka kuingia mjini kama wanavyofanya wenzetu, ama kwa kujenga njia za mkato ambazo nyingi hazipitiki kwa mashimo?
Home
Unlabelled
kero ya foleni barabara ya old bagamoyo road
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kero ya foleni barabara ya Old Bagamoyo.,oops ndugu hayo ni ya barabara ya nyerere road(barabara na road si ni kitu kimoja mjomba?)Kero ya foleni barabara ya Old Bagamoyo.,oops ndugu hayo ni ya barabara ya nyerere road(barabara na road si ni kitu kimoja mjomba?)
ReplyDelete