Kipa wa African Lyon Noel Munishi akisaidiwa na mchezaji mwenzie baada ya kupata huduma ya kwanza kufuatia kugongana na Amri Kiemba wa simba jana Neshno na kufanya mchezo usimame kwa takriban dakika 15 ili apatiwe huduma. Hata hivyo alishindwa kuendelea na mchezaji wa ndani akachukua nafasi yake. Simba walishinda bao 4-0.
Home
Unlabelled
Kuumia kwa kipa wa African Lyon Noel Munishi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...