Mhe. Harrison Mwakyembe (Mb), Naibu Waziri wa Ujenzi alipojumuika pamoja na Watanzania wanaoendelea na matibabu katika hospitali ya Apollo Chennai, India. Nyuma ya Mhe. Waziri ni Mwambata wa Afya katika Ubalozi wetu nchini India, Dr. Kheri O. Goloka na Mama Mwakyembe na wengine ni madaktari na wauguzi wa hospitali hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Mwandosya mbona simuoni au Mwenyezi Mungu kamjaalia kapona!

    ReplyDelete
  2. Pole sana mheshimiwa, tunakuombea upone haraka maana gepu uliloliacha katika ujumla wa uongozi hadi sasa ni kubwa mno.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...