KIKOSI CHA YANGA UGHAIBUNI
 KIKOSI CHA SIMBA UGHAIBUNI
 Mgeni wa heshima kwenye mpambano huo wa Simba na Yanga,Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico,Mama Munanka akikagua kikosi cha Simba.
 Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani na Mexico,Mama Munanka akikagua kikosi cha Yanga.
 Mashabiki wa Yanga
 Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Marekani akikabidhi Kombe kwa Kepteni wa Yanga Adam Jongo
 Wachezaji na Mashabiki wa Yanga wakishangilia Kombe la Uhuru
Timu ya Yanga ikipiga picha ya pamoja na mashabiki wakiwa na Kombe la Uhuru

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Ubalozi Washington DC kuna Naibu Balozi?

    ReplyDelete
  2. je umeme haukuzimika baada ya kipigo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...