Mkuu wa mkoa Mbeya,Abasi Kandoro akiongea na wakandarasi wa uwanja wa ndege songwe Mbeya alipotembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa kiwanja hicho.
Mkuu wa mkoa mbeya Abasi Kandoro akiwasisitiza wakandarasi wa ujenzi wa uwanja wa ndege songwe kukamilisha ujenzi uwanja huo kwa muda uliopngwa
Meneja wa kiwanja cha ndege mkoa wa mbeya Ezekia Mwalutende (aliesimama) akisoma taarifa ya ujenzi wa kiwanja cha ndege songwe Mbeya
Hili ni jengo la abiria ambalo likikamilika litakuwa na uwezo wa kuhudumia abiria 300 kwa saa
Hii ni barabara ya kutua na kurukia ndege nyenye urefu wa kilometa 3.6 na upana wa mita 45 kiwanja kitakuwa barabara ya kiungo moja na eneo la maegesho lenye uwezo wa kuegesha ndege nne aina ya boing 737 kwa pamoja.Picha zote na: www.latestnewstz.blogspot.com.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. MENEJA WA TAA MBEYA SIO mWALUTENDE, MWALUTENDE ALIHAMISHIWA TABORA, TAFUTENI JINA LA HUYO HAPO MBEYA

    ReplyDelete
  2. Mzee Kandoro valia njuga uwanja uishe huo . Watu waache siasa za longolongo sasa!

    ReplyDelete
  3. HILO JENGO (TERMINAL) KWA KWELI HALINA HADHI YA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA.

    ReplyDelete
  4. wewe mtoa maoni unaosema hilo jengo halina hadhi ya kimataifa nani kakwambia huo uwanja wa ndege wa kimataifa?

    kiwanja cha kutua videge vya kuruka kwa uwezo wa upepo na sio kiwanja cha kuruka midege ya kutumia ingini za ukweli hahahaha

    kakibanda kanasimamiwa na serikali ama kweli hali inatisha serikali inajenga kibanda kama hicho wakati viongozi wanatembelea magari ya mamilioni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...