Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( aliyekaa kwenye kiti) akioneshwa sehemu inayokontroo masuala mbalimbali ya umeme baada ya kuvuliwa na kuingia kwenye gridi ya taifa kutoka mgodi wa kuzalisha umeme wa Bwawa la Kihansi, kutoka kwa Msimamizi mwandamizi wa uwezeshaji na usimamizi wa mfumo wa kompyuta , Christopher Mahundi (mwenye rula ) juu ya usimamizi wa matukio mbalimbali ndani ya mgodi huo Oktoba 14, mwaka huu.Picha na John Nditi.
Home
Unlabelled
mkuu wa mkoa wa morogoro atembelea mgodi wa kuzalisha umeme wa Bwawa la Kihansi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Sio MGODI bali MITAMBO ya kufua umeme.
ReplyDeleteKiswahili fasaha ingesomeka kama ifuatavyo:
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (aliyekaa kitini) akioneshwa sehemu inayodhibiti au ratibu masuala mbalimbali ya umeme baada ya kufuliwa na kuingizwa kwenye gridi ya Taifa kutoka mtambo wa kufulia umeme wa Bwawa la Kihansi,.....
Huwa wanatumia neno MGODI kumaanisha hydropower plant
ReplyDelete"Kufuliwa" - Mgodini; "Kuzalishwa" - Mtamboni. Kwa hiyo nyote wawili mwandishi wa kichwa cha habari na mrekebishaji hapo juu mnatuchanganya.
ReplyDeleteKUZALISHA WHAAAAT?????
ReplyDeleteNilidhani Joel Bendera ni naibu waziri wa wizara ya michezo na utamaduni(samahani jina kamili la wizara hiyo silikumbuki). vipi imekuwaje leo ni mkuu wa mkoa?
ReplyDeleteHufuatilii yanayoendelea nchini mwako anon unaeuliza kuhusu Joel Bendera?
ReplyDelete