Mwanamke Mkazi wa Kata ya Mlimba, Wilaya ya Kilombero, Mkoa wa Morogoro, ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa amerundika matikiti maji mbele ya Ofisi ya CHADEMA Kata ya Mlimba na kufanya Ofisi hiyo kugeuka eneo la kuuzia biashara hiyo kama ilivyokutwa, katika Tarafa ya Mlimba.Picha na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Hizi ofisi hufunguliwa na kufanya kazi wakati wa uchaguzi tu, na hiyo ni copy and paste kutoka CCM! pilika nyingine hapo ni 2015!

    ReplyDelete
  2. Regia Mtema wananchi wako vp?? do something mwanadada

    ReplyDelete
  3. Safi sana. Hiyo ndiyo inaonyesha kwamba CHADEMA ni chama cha watu na kinalenga kumkomboa mtanzania. Hii ni moja ya sera za chama. Huu ni mfano kuwa badala ya ofisi yake kuwa imefungwa ni afadhali ikawa inafanya shughuli za ujasiliamali.

    ReplyDelete
  4. viva CHADEMA,hawana pesa za kuwapa watu watambe na mashangingi,mikopo hupewa wakongwe wa CCM,hii ni hali halis ya mtanzania.

    ReplyDelete
  5. Inamaana mpaka ikulu safari hii hivi hivi.yes

    ReplyDelete
  6. yaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaani this is very nice nenda ofisi ya ccm kata ya gerezani ukaone umbea na ushambenga ambao unafanyika pale na wazee na mashangingi bila kujenga new ideas na ugunduzi bora kufunga ofisi na kumpa kijana atafute riziki kuliko umbea unaoendelea

    ReplyDelete
  7. Ni sawa, ofisi nyingi za vyama vya upinzani zinatokana na watu kujitolea nyumba zao na hazipati malipo yoyote, sasa mnataka mtu ajitolee nyumba/kibanda bure na shughuli zake zisimame hata kama eneo husika halina shughuli ya kichama zinazoingiliana kwa wakati huo?

    ReplyDelete
  8. Hapo hapana ofisi ya CHADEMA bali pana fundi cherehani na photo studio.

    ReplyDelete
  9. hapo chachaaa tusubilie mpk uchaguzi utaona ndugu mwandishi ukienda patakuwa wazi.

    impostra

    ReplyDelete
  10. Thanks anonymous wa 10:20 umechangia vizuri sana...Ni sawa, ofisi nyingi za vyama vya upinzani zinatokana na watu kujitolea nyumba zao na hazipati malipo yoyote, sasa mnataka mtu ajitolee nyumba/kibanda bure na shughuli zake zisimame hata kama eneo husika halina shughuli ya kichama zinazoingiliana kwa wakati huo?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...