Rais Dkt. Jakaya Kikwete akihutubia wakati alipokuwa akifungua mkutano wa uwekezaji  katika mikoa ya kanda ya ziwa Tanganyika ya Rukwa na Kigoma uliofanyika mjini Mpanda leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Waziri mkuu Mizengo Pinda wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wawekezaji na mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi hapa nchini muda mfupi baada ya Rais Kikwete kufungua kongamano la uwekezaji katika ukanda wa ziwa Tanganyika huko Mpanda mkoani Rukwa lao mchana.(picha na Freddy Maro).
 Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiteta na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  katika mkutano wa Uwekezaji alioufungua Mjini Mpanda leo.
 Baadhi ya  Washiriki  wa Mkutano  kuhusu Uwekezaji kwenye eneo la  ziwa Tanganyika wakimsikiliza Rais Dkt. Jakaya Kikwete wakati aalipofungua mkutano huo Mjini Mpanda leo. Picha na Freddy Maro wa Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Katika mkutano huo kuna website ilizinduliwa. Iko wapi? Waandishi wa habari si sharti mripoti tukio kama hilo? Muwe makini jamani!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...