Rais Dkt. Jakaya Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Sudan hapa nchini Mheshimiwa Yassir Mohamed Ali huko Ikulu jijini Dar es Salaam jana.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya mazungumzo na Balozi wa Japan hapa Tanzania Mheshimiwa Masaki Okada mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. SUDAN IPI? MWANDISHI WA HABARI/MPIGA PICHA HIZI ANATAKIWA AJUE KUNA SUDAN YA KUSINI NA YA KASKAZINI; NA SASA SI SUDAN TU, LABDA KAMA BALOZI MMOJA ANAWAKILISHA JAMHURI ZOTE MBILI. ANGALIZO TU

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...