Baadhi ya Askari wa jadi ( sungusungu) kutoka Kijiji cha Iragua, Tarafa ya Lupiro ,Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, wakiwa kwenye mazoezi ya namna ya kupambana na wahalifu, idadi kubwa ya Askari hao ni kutoka Kabila la Wasukuma wanaoshi vijiji mbalimbali vya Kata ya Iragua, kama walivyokutwa juzi kijijini hapo.Picha zote na John Nditi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. tuachane na haya mambo watanzania huu ni mwaka 2011 bado tupo kwenye mambo kama haya hivi ni lini tutafaidi matunda ya maendeleo? looh mungu ibariki my matherland

    ReplyDelete
  2. Anony..14/10 11;16
    Vipi wewe hutaki ulinzi? ungejua wanavyotusaidia usingesema maana wezi hata kama una get bado wakikuvamia geti lako halisaidii. Kama wewe huwataki mimi mwenzio nawahitaji sana, sungusungu kazi nzuri hiyo

    ReplyDelete
  3. hawa wako katika mazoezi kweli na kijiti hicho? hata mtoto wa nyoka akipigwa nacho afi, jamani karne 21 bado tuko hapa, haki ya Mungu nchi hii au pori fulani?

    ReplyDelete
  4. concept ya sungusungu haimaanishi kuwa na machine gun au kifaru au mabomu ya kutungulia ndege na mascudi.
    mwizi au majambazi wakipigiwa makelele inakuwa ngumu kwenda kuiba ila kunaumuhimu wa kutumia silaha nzito kidogo pamoja na mbwa wakali.
    sungu sungu oyeee

    mkweli

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...