DKT. DANIELE PASSALAQUA kutoka mradi wa TTELMS wa Italia akizungumza wakati wa Tamasha la Kuhamasisha wasichana kujiunga na Mafunzo ya Ufundi na Sayansi.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha Dkt Richard Masika akizungumza wakati wa Tamasha la Kuhamasisha wasichana kujiunga na Mafunzo ya Ufundi na Sayansi.
Mgeni Rasmi, Eng. Bi. Margret Muyangi akizungumza na baadhi ya wasicha kutoka Shule mbalimbali za Sekondari wakati wa Tamasha la Kuhamasisha wasichana kujiunga na Mafunzo ya Ufundi na Sayansi.
Baadhi ya Wasicha waliofanya vizuri katika Masomo ya Ufundi na Sayansi katika Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) walizawadia kompyuta.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...