Waziri wa Nchi Ofis ya Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo ya Utafiti wa Kuangalia ainayaumri wa Mawe ya Mafuta kwa  Geologia wa Mafuta Bi Venosa Ngowi alipotembelea Maabara ya  Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania huko Benjamin Mkapa Towers Mjini Dar es Salaam.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano Samia Suluhu Hassan akipata Maelezo kutoka kwa  Mkurugnzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Tetroli Tanzania[TPDC] Bw Yona Kilagane kuhusu  Maktaba ya Kuhifadhia Nyaraka za Utafiti na Uvumbuzi wa Mafuta kwenye Ofisi zao Jengo la Benjamini Mkapa Towers Mjini Dar es Salaam[Picha na Ali Meja].

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...