Timu ya Kamba ya Hazina wanawake (yenye jezi za Bluu) na washabiki wao wakisherekea ushindi wa tatu wa Mashindano ya SHIMIWI baada ya kuwavuta RAS Iringa (hawapo pichani) leo asubuhi jijini Tanga katika hatua za kumsaka msindi wa Tatu . Hazina kamba wanawake imefanikiwa kuwa mshindi wa tatu baada ya kuivuta RAS Iringa mvuto mmoja na kwenda nao sare mmoja.
Timu ya Kamba ya Hazina wanawake (yenye jezi za Bluu) ikiwavuta RAS Iringa (hawapo pichani) leo asubuhi jijini Tanga katika hatua za kumsaka msindi wa Tatu . Hazina kamba wanawake imefanikiwa kuwa mshindi wa tatu baada ya kuivuta RAS Iringa mvuto mmoja na kwenda nao sare mmoja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...