WAZIRI wa Maji, Profesa Mark Mwandosya, akizawadiwa na Kamanda wa Vijana wa CCM Kata ya Kivukoni, Dar es Salaam, Sharik Choughule, alipokwenda kumjuliahali nchini India, ambako amelazwa kwa matibabu.
WAZIRI wa Maji, Profesa Mark Mwandosya, akizungumza na Kamanda wa Vijana wa CCM Kata ya Kivukoni, Dar es Salaam, Sharik Choughule, aliyekwenda kumjuliahali nchini India, juzi, ambako amelazwa kwa matibabu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. pole mwandosya MUNGU atakusaidia utapona..

    ReplyDelete
  2. Pole sana Mheshimiwa Mwandsya. Mungu azidi kukutia nguvu na kukupa amani wakati huu mgumu wa kuumwa

    ReplyDelete
  3. Pole mzee, Mwenyezi Mungu atakunyooshea mkono wake, maana ni mwingi wa rehema na neema.

    ReplyDelete
  4. akizawadiwa maua!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  5. Kumjulia hali mgonjwa ni moyo wa kiutu na kiubinaadam, tudumu na Moyo huo, Pole Mwandosya pamoja tujenga mshikamano!

    ReplyDelete
  6. Pole sana Mark Mwandosya Mungu atakupa afya na utaenedelea vizuri na kazi pamoja na maisha.

    ReplyDelete
  7. sawa kabisa. bora nyerere angekuwa hai manake kila kiongozi siku hizi akiumwa mafua, tumbo la kuhara safari india. sie tutaishia amana na nwananyamala

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...