MAJ. PERFECT ANTHONY SHAYO
25/08/1955 – 23/11/2009

Ni Miaka miwili (2) sasa tangu ututoke tar.23/11/2009. Baba yetu mpendwa
MEJA PERFECT ANTHONY SHAYO.
Baba unakumbukwa sana na Mke wako Mrs. Mary P. Shayo. Watoto wako, Wajukuu zako, Ndugu jamaa na Marafiki.

Upendo, Ushirikiano na fadhila za kiroho na kimwili ulizotuachia havitasahaulika kamwe. Tunamshukukuru Mungu kwa kuwa ulituachia misingi Imara ambayo imetuwezesha kuwa pamoja katika Familia.

Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi. Amen

Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa – Jina la Bwana lihimidiwe!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...