Bondia Mussa Mohamedi (kulia) akimfulumusha makonde mfululizo Bondia mwenzake,Fadhili Hassani wakati wa mpambano wa mashindano ya Kova Cup yaliyomalizika jijini Dar es salaam jana.Mussa alishinda kwa K,O ya raundi ya tatu.
Mabondia wa kike Mariamu Edwer (kushoto) na Matha George wakipambana wakati wa mashindano ya Kova Cup yaliyomalizika jijini Dar es salaam, jana. Matha alishinda kwa ponti.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...