Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma, juzi jioni alizindua rasmi gazeti la Kwanza Jamii. Gazeti hilo litakuwa rikiripoti habari zenye kuhusu mkoa wa Iringa. Sherehe hizo za uzinduzi zilifanyika kwenye viwanja vya Mwembetogwa mjini Iringa.Kwa picha zaidi , tembelea libeneke la Maggid Mjengwa kwa Kubofya hapa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...