Huu ni Mtaa wa Muhoro,Kariakoo jijini Dar ukiwa umelindikwa takataka ngumu kana kwamba hapo ni sehemu rasmi ya kuhifadhia taka hizo.Halmashauri ya Wilaya ya Ilala liangalieni hili maana huu pia ni uchafuzi wa mazingira.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Usafi ni tabia.

    ReplyDelete
  2. Daresalaam bwana..siyo hapo tu ni kila kona ya jiji uchafu uchafu..kuna mdau wiki zilizopita alituonyesha Kawe.Majiji mengine huko duniani uchafu wanaudhibiti vipi manake 'domestic waste' ziko kila pembe ya Dunia..tuige kwa wenzetu kwenye majiji makubwa.Dar inakera kwa uchafu..ukienda uko uswahilini ndiyo usiseme.

    David V

    ReplyDelete
  3. Sasa kama hamzichukui kupeleka dampo tutafanya nini? utageuka dampo ndiyo.

    ReplyDelete
  4. Tatizo municipality council au halimashauri ya mji kama walivyoibabatiza iliyokuwa ikishughulikia suala la usafi wa miji ilkufa ilivyouwawa wanajua wenyewe ndio maana yote haya hakuna dawa za kuuwa mazilio mbu wala kuzolewa taka sasa wananch wafanye nini wamechimba mashimo kuzika taka hadi mtu kamaliza eneo lote la nyumba kwa kuchimba. kazi kwenu na vyandarua vyenye sumu badala kuua mazilio

    ReplyDelete
  5. Naishukuru Michuzi blog,halmashauri yetu ni kubwa na bila kupata feedback kwa wadau ni muhimu. Kwa picha ya jana nimemweleza waste manager wetu na kwa kwakuwa eneo hilo linasafishwa na mkandarasi tayari ameagizwa kurekebisha mapungufu.
    Nitashukuru mtu yeyote akiona eneo chafu arushe itatusaidie kuongeza ufanisi hasa wakati huu ambapo tunafanya mageuzi makubwa kwenye sekta ya usafi lakini ukweli utabaki palepale,performance feedback is very important.
    Jerry Silaa
    Meya-Ilala MC

    ReplyDelete
  6. Naishukuru Michuzi blog,halmashauri yetu ni kubwa na bila kupata feedback kwa wadau ni muhimu. Kwa picha ya jana nimemweleza waste manager wetu na kwa kwakuwa eneo hilo linasafishwa na mkandarasi tayari ameagizwa kurekebisha mapungufu.
    Nitashukuru mtu yeyote akiona eneo chafu arushe itatusaidie kuongeza ufanisi hasa wakati huu ambapo tunafanya mageuzi makubwa kwenye sekta ya usafi lakini ukweli utabaki palepale,performance feedback is very important.
    Jerry Silaa
    Meya-Ilala MC

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...