Katibu wa NEC wa uenezi na itikadi wa CCM Nape Nnauye akiongea na wanahabari muda mfupi uliopita makao makuu ya chanma hicho, akiwapa taarifa ya kinachoendelea na kuomba wanahabari wadumishe weledi na ukweli wanapoandika na kutangaza habari.

Ameeleza kushangazwa na habari ambazo chanzo chake si za chama hicho zinazoleta kile alichokitaja kama 'tension' miongoni kwa wananchi, na kwamba dhana ya kujivua gamba inaelezwa ndivyo sivyo wakati CCM inamaanisha kujijenga zaidi katika mfumo wa kisasa na sio kundama mtu mmoja mmoja.

Ameahidi kusema mengi baada ya kikao cha Halmashauri kuu kinachoanza kesho, na mchana huu kikao cha uslama na maadili kimemalizika na kinafuata cha Kamati Kuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huyu bwa mdogo kwishney tayari keshachakachuliwa kashasahau utumbo aliokuwa anabwabwaja kuhusu mapacha wa-3 juzikati salaleh hapa ccm haina mtu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...