Taswira...
 Mkutano wa hadhara
 mie simo...
Kipende chako
Kibajaji...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 19 mpaka sasa

  1. Du willy brown upo hapo?

    ReplyDelete
  2. Yaani hiki ni kiroja cha mwaka,,hivyo viatu kavivua kuingia msikitini au wapi jamani!,,na huyo mtu kamuweka mtoto miguuni au ni sanam,,,eee hiyo kali Bongo tunanafuu,,huwo mkutano wa mtu mmoja tu na hajakaa kachuchumaa yuko ready kuondoka....Muuu,,kituko!!!Baiskeli kama tuko Tanga,,kunani kule!,,Ahlam UK

    ReplyDelete
  3. anco mich nnakufa kucheka wallah hawa watu nyi muwaone tu huko nyumbani yaani kunahao wanaotokea india kusini wanaitwa wakerala yaani ndiyo kabisaaa matatizo unaweza umkute anabrash yaani kuswaki kwa sinki ya jikoni.

    ReplyDelete
  4. Kwa hali halisi inayo wakabili Wahindi kwao, ya mazingira magumu ya maisha na changamoto kama hizo ktk picha ,Mhindi akija Bongo harudi kwao mpaka awe tajiri!

    ReplyDelete
  5. Kulaleki haya ndio mambo ya India bana..!!! Du!, kwa mtaji huu Uhamiaji Bongo waimarishe mipaka maana Mhindi akinusa Bongo ataona amefika peponi!

    ReplyDelete
  6. Loh Bongo tuna matatizo kidogo ya kimaisha lakini hii ni kubwa kulioko zote!

    ReplyDelete
  7. Mshike mshike na Libeneke la kimaisha kama hili nyumbani India...vinafanya mtu uwe na akili ya ziada akifika ugenini!

    ReplyDelete
  8. Msala wa kimaisha ukiusikia ndio huu, hadi ndala zimepigwa pini!

    ReplyDelete
  9. Mhhh...hiyo Mdau kupanda basi la wanawake (WOMEN SPECIAL) ndio kulipia nusu bei?, msaada kwenye tuta? au ndio bei ya pasipoti size sio?

    Ahhh kwa mtaji huo bora niende kwa miguu hata mbali kama Mbagala nitapiga teke tu Inshallah nitafika!

    ReplyDelete
  10. Mhhh...hiyo Mdau kupanda basi la wanawake (WOMEN SPECIAL) ndio kulipia nusu bei?, msaada kwenye tuta? au ndio bei ya pasipoti size sio?

    Ahhh kwa mtaji huo bora niende kwa miguu hata mbali kama Mbagala nitapiga teke tu Inshallah nitafika!

    ReplyDelete
  11. yaani kazi kweli kweli

    ReplyDelete
  12. Duhh ..basi la (women speacial) kupanda wanaume ,,,,sasa hayo ndio mambo ya Donald Cameron au sio?

    ReplyDelete
  13. kwa mimi mwanaume Sanjeev Kuumaari kupanda basi la wanawake (Nyumbani India)....kulaleki nikifika majuu (Tanzania) ,lazima nifanye kweli ,nitakufa na mtu!

    ReplyDelete
  14. Yamenikuuuuta , yamenikutaaa, yamenikuuuta !!!! mimi Stering wa Sinema za Kihindi kupanda basi la kike (women special) hii ni dalili ya bundi kuunguruma na kuwa maisha yamenishika!!1

    ReplyDelete
  15. Hhahahaha ,Ankal haya ndi yale mambo ya msaada wa kibinaadam unafika kituo cha daladala,,,unamvuta konda (mikoba) pembeni ya mlango kabla ya kupanda unatoa siri yako kama huna kitu kabisa au unacho ila pungufu anakwambia ingia....!!!

    ReplyDelete
  16. Uhhhhh, ama kweli wakati mwingine school bus / mabasi ya wanafunzi au mabasi ya wafanyakazi wa kike (Women Staff Buses) yanatutoa kiaina, ndio kama hapa huko Udosini kwa wajanja!!!

    ReplyDelete
  17. Duh nimepatikana!!!! , mimi Star wa Kihindi kupandishwa basi la wanawake ni kama nimeingizwa CHOO CHA KIKE!

    ReplyDelete
  18. Duhhhh Mhindi mjasiriamali kama sio mchumi...kwa basi (women special ingekuwa Bongo hakuna atakaekubali kupanda basi la mademu labda iwe usiku tena kwa kujificha na hakuna jinsi usafiri mgumu!,,,,hakuna nini wala nini hapa Wahindi ni suala la kupata hati punguzo, ni kiasi cha nusu bei tu!

    ReplyDelete
  19. hahahahah! uncle umenifurahisha kweli.. india Noma lol

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...