Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya "Ngoma Africa band" aka FFU,yanye makao yake nchini Ujerumani,wameachia hewani CD mpya yenye nyimbo za miaka 50 ya Uhuru.Nyimbo zilizomo katika CD hiyo ni utunzi na uimbaji wake kiongozi wa bendi hiyo Kamanda Ras Makunja akiimba kwa kushirikiana na Chris-B,mpiga solo wa kikosi hiko,habari za uhakika zimetonya kuwa nyimbo hizo zimetua pia katika blog mashuuri ya Michuzi,pia vituo vya Redio vya Deutche Welle mjini Bonn,Radio VOA ya Washington,Radio Free Africa,Mwanza,vimepoke nyimbo hizo ambazo wakati wowote zinaweza kutoa burudani kwa wananchi katika shamra shamra za miaka 50 ya uhuru.Nyimbo hizo mbili (1) Miaka 50 Uhuru(rumba) na 2. 50 Uhuru Shangwe,Zinasikia pia at www.ngoma-africa.com
Home
Unlabelled
Ngoma Africa Band na Nyimbo mpya za miaka 50 ya Uhuru
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
hi,kikamanda ketu Ras Makunja ffu na kikosi chako ngoma africa au ffu aka watoto ya mbwa,naona hii kali ya kumalizia mwaka au? kazi nzuri sana watoto wa mbwa bin ffu
ReplyDeleteKamanda ffu,mbona tulijua tuu lazima mtakuja na virungu vipya vya kutisha,naona mmehamua kufunga kasi,kazi mnaiweza sema tu mnapogeuza ulimi wenu ni watoto wa mbwa,lakini katika gwaride ni ffu wa kweli
ReplyDeletehey ffu hongereni sana kwa kuleta mpya,nyinyi mnakubalika,kila anayewapitia mbela yenu basi lazima mtambwakia,gwaride lenu la kiaskari kweli
ReplyDelete