Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati ya utambulisho toka kwa Balozi mteule wa Ufaransa nchini Tanzania Mh Marcel Escure leo Ikulu jijini Dar es salaam
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi mteule wa Ufaransa Mh Marcel Escure baada ya kupokea hati zake za utambulisho leo Ikulu jijini Dar es salaam
Baada ya Kupokea hati ya utambulisho, Rais Dkt Jakaya Kikwete akimtambulisha balozi mteule wa Uswisi nchini Tanzania Mh Oliver Chave kwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Balozi Rajabu Gamaha ambaye anafuatiwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Marekani Bi. Grace Shangali na Mkurugenzi Msaidizi katika idara hiyo.
Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea na balozi mteule wa Uswisi nchini Tanzania Mh Oliver Chave baada ya kupokea hati ya utambulisho.Picha na Ikulu.
jamani hii inakuwa hawi heshima rais kumuita just rais jakaya kikwete? drt ikiachwa kuwekwa hatakuwa rais au mpaka watu wajuwe nyeye ni dr,acheni kulimbikizia majina watu bwana.jina la rais j,kikwete linatosha sana.hahahaha mheshimiwa dr jakaya mrisho kikwete.
ReplyDeleteanaitwa Grace Shangali rekebisha
ReplyDeleteHawa wafaransa ndio wale waliokumbatia waasi wa libya hadi kmuuuwa cl Muammal Gadhaffi. Vipi SMT inaikataa serikali mpya ya Libya na kuwakaribisha Ufaransa nchini. Hahahaa! kweli hawa wakubwa wanaoogopwa.
ReplyDeleteAnonymous Wed Nov 16, 04:03:00 AM 2011 kwani ugomvi? tafadhali jifunze kutumia maneno kama tafadhali, naomba, nk
ReplyDeleteduh hawa wafaransa mimi nawaogopa sana,manake ni wataalam wa kugombanisha vi nchi vya Africa,Rwnd & Burnd n.k anyway karibu sana mheshimiwa barozi kwa wadanganyika,bara la africa ni lenu mnaweza kwenda popote na kufanya vyovyote mpendavyo hatuna cha kuwafanya ila mungu atayanyoosha mapito yake na hakika mtauona mkono wa chuma.
ReplyDeleteWafaransa hawa kuweza kugombanisha wanawamudu hao hao Banyamulenge huko Rwanda ,Burundi...Tumeshawastukia Hapa kwetu NO!
ReplyDelete