Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akifanunua jambo wakati wa tamasha la siku ya familia  iliyowajumuisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao na kufanyika jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa wateja wa benki ya CRDB, Tully Mwambapa akizungumza katika tamasha la siku ya familia iliyowajumuisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao.
 Baadhi ya Wafanyakazi wakicheza mpira katika tamasha la siku ya familia iliyowajumuisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao.
Kulikuwepo na michezo mbalimbali,ambapo Wafanyakazi walishiriki katika tamasha la siku ya familia  iliyowajumuisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...