Wachezaji wa Timu ya Hazina wakiwa kwenye maandamano ya kupita mbele ya mgeni rasmi wakati wa sherehe za ufungaji wa mashindano ya SHIMIWI yaliyofanyika mkoani Tanga jana.
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa (aliesimama) akitoa hotuba ya ufungaji wa mashindano ya SHIMIWI kwa mwaka 2011 yalimalizika jana jijini Tanga.
 Timu ya Mpira wa Miguu ya Hazina wakishangalia ushindi wao jana jijini Tanga mara baada ya eapinzani wao Timu ya Uchukuzi kugomea kugipa penati mara baada ya dakika 90 kumalizika wakiwa wamefungana bao 1-1.
 Nahodha wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Hazina ,Respecious Mugisha akipokea Kombe la Ushindi wa Kwanza wa mashindano ya SHIMIWI kwa 20011 kutoka kwa mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa (kushoto) mara  baada ya kuibuka mabigwa wa SHIMIWI kwa mwaka 2011 kwa mpira wa miguu kufuatia timu ya uchukuzi kugoma kupiga penati ya kuamua mshindi wa fainali baada ya mchezo kumalizika wakiwa wamefungana bao 1-1
 Mkuu wa Mkoa wa Tanga,Luteni Mstaafu Chiku Gallawa (wa pili kushoto) akiwavisha medali wachezaji wa timu ya mpira ya Hazina jana jijini Tanga mara baada ya kuibuka mabigwa wa SHIMIWI kwa mwaka 2011 kufuatia timu ya uchukuzi kugoma kupiga penati ya kuamua msindi wa fainali baada ya mchezo kumalizika wakiwa wamefungana bao 1-1.
 Wachezaji wa timu ya mpira wa Miguu ya Hazina wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wao mara  baada ya kuibuka mabigwa wa SHIMIWI kwa mwaka 2011 kwa mpira wa miguu kufuatia timu ya uchukuzi kugoma kupiga penati ya kuamua mshindi wa fainali baada ya mchezo kumalizika wakiwa wamefungana bao 1-1

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Sasa kama dk 90 zimeisha sheria inasema ziongezwe dk 30 kwanini hawajaongeza huo ndio ubabaishaji wa viongozi wetu wa soka

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...