Msaidizi wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Makazi) Bw. Peleleja H. Masesa, akikabidhi mchele, unga, sukari, sabuni, majani ya chai, pamoja na mbuzi kwa kiongozi wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Msongola Ilala Rehema Masoud, ikiwa ni zawadi ya sikukuu ya Krismas kutoka kwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal aliyotowa kwa watoto wanaolelewa katika kituo hicho Msongola nje kidogo ya jiji la Dar es salaam leo jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Huu ni unafiki au sio namna ya kuwasaidia yatima,viongozi wangetafuta mfumo mwengine wa kuzuia pesa ambazo zinaibiwa kila mwaka na watumishi wa serikali na pia kupunguza matumizi wangeweza kuwajengea makazi ya kudumu na hata kuwaelimisha vizuri,mbuzi watakula siku moja.lakini mabilioni waskubwa wanayojilimbikizia kwa kuibia umma ungewa kuwajengea makazi yenye heshima ya kudumu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...