Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akiondoka baada ya kuzindua jengo la Golden Jubilee Towers la PSPF mtaa wa Ohio jijini Dar es salaam leo. kulia kwake ni Waziri wa Fedha Mh Mustafa Mkullo na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh Said Mecky Sadik. Kwa picha zaidi ya tukio hili BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...