Wanafunzi wa shule ya sekondari Mswaki iliyopo wilayani Kilindi mkoani Tanga, wakiwa na bango lao linalosomeka 'Miaka 50 ya Uhuru na makazi duni vijijini, tubadilike' hizi ni shamra shamra za sherehe za miaka 50 ya uhuru zinazofanyika kila wila nchini. (Picha na Mdau Mashaka Mhando, mzee wa Bonde)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. hata watoto wamejua kuwa maisha yetu bado ni mabaya,Ulaya ambao hali zao za maisha ni nzuri kuliko zetu wanajadili kupunguza matumizi,sie tunaongeza posho za wabunge.ANGALİENİ WATAKUA HAO MOTO UTAWAKA.

    ReplyDelete
  2. Hawa wamekuwa wa kweli. Wengine wanasema mazuri tu lakini changamoto zinazotukabili hawazizungumzii kabisa kana kwamba kila kitu kiko shwari. Hongera vijana kwa kudhubutu.

    ReplyDelete
  3. I'm willing to send $200 kwa hawa wanafunzi wawili.Wameonyesha moyo mkubwa sana.

    Mwenye mawasiliano nao naomba anipatie.

    shukran.

    ReplyDelete
  4. Kweli hawa vijana ndio watatuletea uhuru wa kweli wa nchi hii. Nina imani miaka 20 ijayo watanzania hawatakubali kupelekeshwa pelekeshwa. Dalili nzuri sana vijana. BIG UP

    ReplyDelete
  5. I love this Placard(sign)the message is perfect.

    ReplyDelete
  6. MIAKA 50 YA UHURU::::TUMETHUBUTU, TUMEWEZA NA TUNASONGA MBELE!!!!!

    Mswaki jimbo la Kilindi Mkoani Tanga, eneo hilo hilo wanafunzi wakidhihirisha makazi duni hata baada ya miaka 50 ya Uhuru wetu, pana wahesimiwa Wabunge wawili wa majimbo jirani mmoja amechukua mkopo wa Shs. 2 Bilioni karibuni wakimiliki migodi na wanachimba DHAHABU!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...