KIWANJA KUNAUZWA KIPO KIJITONYAMA, KINA HATI NA UKUBWA  27 KWA 28 BEI TSHS 150M, KINA UZIO WA UKUTA NA TOFALI ZAIDI YA 4000.
MAWASILIANO PIGA 0713 32 77 13
(SERIOUS BUYERS ONLY)


Mdau Kijitonyama, Dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 15 mpaka sasa

  1. How can you know who is serious buyer? Any one can be a serious buyer if all documents are available. And not only availability of documents, is the plot at illegal place? We don,t want problems at the end.

    Now, HOW MUCH?

    ReplyDelete
  2. uswahilini bei hiyo! duh. Ama kweli ardhi ni overpriced bongo! Uzuzri ni kwamba ukweli unaanza kuonekana kutokana na oversuplly ya majengo na nyumba- bei zenyewe zinadondoka sasa, NA BADO na hayo mapartments yanayokuja!

    ReplyDelete
  3. kaka sell that as fast as you can price zinaporomoka tunapokwenda hizo bei zinaanza kupitwa na wakati

    ReplyDelete
  4. too expensive, hta masaki siyo bei hiyo!

    ReplyDelete
  5. dah jamaa hiyo bei imefika kwa maeneo hayo 150m ??????????????

    ReplyDelete
  6. hahaha mil. 150????? huu ni wizi wa nje nje.

    ReplyDelete
  7. Mdau wa MaguDecember 28, 2011

    Hapa kwenye foreground sio mto huo? Mbona kijani sana? Kuna unyevunvevu? Ntakupigia mdau lakini ardhi kama hizi huu mwezi ndio kipimo kama tupu below au above sea level.

    ReplyDelete
  8. Chamabondeni hicho tafadhali

    ReplyDelete
  9. Huwa panajaa maji ile mbaya bwawa la mpunga hiyo picha kapiga siku nyingi sana mwambieni apige leo kama hamjaona bahari

    ReplyDelete
  10. eheheh unauza million 150 au million moja na laki tano unawachanya watu andika vizuri

    ReplyDelete
  11. Nadhani bei ya mkate sasa ni laki moja.

    ReplyDelete
  12. to be honest prices za nyumba bongo are overpriced, wajanja tunasubiri watu waanze kushindwa kulipa madeni ya nyumba walizonunua, tutanunua half the price.
    Huu ni ushauri wa bure kwa ndugu zangu,watanzania wanapenda kufanya vitu kama style vile , sasa hivi kila mtu anataka kununua nyumba basi kila mtu atataka kununua ...
    Buyin a house is like Marathon..you have to pace your self financially...

    ReplyDelete
  13. mbona kiwanja ni kizuri na bei ni rahisi sana au utapeli?
    muuzaji ungeuza japo kwa milion 350 ukayatoa maisha

    ReplyDelete
  14. wabeba mabox nyie seemeni overprice hizo ndio bei, nyie chezeni tu mtaenda kuhamia chalinze

    ReplyDelete
  15. wadau mbona bei poa tu,mimi nimenunua nyumba london chumba kimoja tu,sawa na milioni 400 tsh,halafu nina nyumba kigogo nauza milioni 200 anayetaka

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...