Home
Unlabelled
makomandoo hewani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mimi huwa nina negative comments kuhusu JWTZ lakini leo nimependa jinsi hawa jamaa walivyo na maumbile ya kijeshi. Ni warefu,weusi(wazuri), wamejazia, wamependeza (sare ina dizaini nzuri), hawana vitambi, na wana nguvu. Ni rasilimali nzuri ya kumtishia adui.
ReplyDeleteIla sijui kichwani kwao kama kuna mwanga wa kutosha.
kingine sijui haya ni maigizo yalioandaliwa kwa miezi 6 kwa ajili ya sherehe au ni ujuzi wao halisia.
Kama huamini join the army na uje 92 SOF Bn sawa utaamini au utakimbia ubakina kumbukumbu moyoni
DeleteYes tupo kamili,,haya ndio Majembe babake,hewani kwa hewani, hii itafaa kwa Majeshi yote TZ hadi Polisi isipokuwa Uadilifu uzingatiwe!
ReplyDeleteHii siku labda tungeambiw uchumi nao unafanyiwa kazi maana ajra nazo hakuna. Hii show ya Makomandoo Mm nilkua na depression leo "kazi, chuo"! Naona makomandoo ebwana!!! Tanzanian Navy Seals? I love it!
ReplyDeletepicha nzuri sana hiii
ReplyDeleteYaaani this was super, nimewapenda kinoma.bll
ReplyDeleteVery nice picture!
ReplyDeletekakaaaa nimekukubali sawa! Mie kimya hapoo
ReplyDeletembele za risasi za moto haonekani mtu , ukomando ni kwenye tv tu
ReplyDeletemdau paris
h aha hahhaa! Jamaa mikwala tu.
ReplyDeletethis is an excellent photo!
ReplyDeleteTatizo siku hizi jamaa wanamiliki Drones..
ReplyDeleteGadafi alikuwa nao kama hawa zaidi ya 2000.. akaishia kwenye friji ya butcher..
Hongereni sana makomandoo wetu. Miaka 50 ya Uhuru imedhihirisha wazi kwamba tumeweza na tunazidi kusonga mbele. Hongereni sana. "Hongereni Miaka 50 ya Uhuru"
ReplyDeleteNilikuwa nianzishe vita na Tanzania lakini sasa nimeghairi maana hawa jamaa wako fiti sana. Sana sana nitachokoza nchi nyingine halafu niombe msaada Tanzania.
ReplyDeleteASANTE ANKAL.KUMBE NA SISI TUNAO NAVY CEAL KAMA WALE WALIOMCHOROPOA OSAMA. ASANTE KWA PICHA NZURI MAANA TULIKUEA TUMECHOSWA NA PICHA ZA WAREMBO.
ReplyDeleteLakini ! ARE THEY FIT PSYCHOLOGICAL`?
ReplyDeleteDuuh hawa MITU wamewapata wapi,wasije wakawa WANYARWANDA,manake hizo height si za kibongo bana mi nina wasiwasi,ka jeshi lote lingekua hv,halafu hakunaga wazee wa VITAMBI NOMA,basi tungetisha ha ha haaaa.
ReplyDeleteBa TZ kwa porojo!! mi napendaga kujisomea comment humu na kucheka.
ReplyDeleteHapa Al-shabaab achokoze aone. Al-shabaab chezea Kenya sio Tanzania, askari wa Iddi Amini na Gaddaffi wanalijua hili maana makomandoo walijenga commando bridge mto Kagera wakaingia wakavuruga Uganda yote ndipo kichapo kikaanza mwanaume akakimbia nchi yake mwenyewe.
ReplyDeletehehehe mnarukaruka wenzenu wanakula posho kiulainiii
ReplyDelete"Tanzaniaaa Tanzaniaaaaa
Nakupendaa kwa Moyo woooteeeeee!
Hongera! Kazi nzuri sana jeshi letu. Mimi ningependa kuona hata mapolisi wetu wakiwa katika hali hii. Na sana sana maofisa wengi wa jeshi la polisi wanahitaji mchakamchaka ili kupunguza musosi chini ya vifua vyao.
ReplyDeleteMbona mwanamke hamna komandoo? Mnatakiwa mbadilike!!
ReplyDeleteThesa are super combatants, super guys, ipo shughuli pevu hapo, wakati wa course hii hawa jamaa menu yao ni mijusi na inzi, hamna maji ya kunywa can you imagine!
ReplyDelete