Waziri Mkuu Mstaafu Fredrick Sumaye akipata maelezo kutoka kwa maofisa sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakati alipotembelea banda la Wizara ya Katiba na Sheria katika maaadhimisho ya miaka hamsini ya uhuru wa tanzania bara katika viwanja vya JK Nyerere.
Naibu Mawanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akipata maelezo kutoka kwa maofisa Sheria wa Tume
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...