Mkuu wa mkoa wa Ruvuma,Mh. Said Mwambungu (kushoto) akipokea shati kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya mantra Tanzania,Bw Asa Mwaipopo yenye ujumbe wa miaka hamsini ya uhuru wa Tanzania.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Mantra Tanzania inayofanya utafiti wa madini ya uranium katika pori la hifadhi ya taifa ya Serou wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma,Bw. Asa Mwaipopo akiongea wakati wa kikao kati ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa huo na uongozi wa juu wa kampuni hiyo,katikati ni mkuu wa mkoa wa ruvuma Said mwambungu
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mkoa wa Ruvuma,wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa huo,Mh. Said Mwambungu (hayupo pichani) wakati wa kikao cha Kamati ya Uongozi wa wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Uranium (Mantra) katika ukumbi wa Hospitali Mkoa,Mjini Songea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. mkuu wa mko wa ruvuma si stella manyanya?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...