Mrembo Nasreen Karim akitoa maelezo kuhusiana na Bidhaa zinazopatikana kwenye Duka ENJIPAI ambazo zinatengenezwa kwa Mikono ya Wanawake wa Tanzania Wajasiriamali.
Baadhi ya Bidhaa zikiwa kwenye Show Room ya ENJIPAI.
Mrembo Nasreen Karim katika picha ya pamoja na baadhi ya Kinamama wa Kimasai wanaotengeneza bidhaa hizo.

Baadhi ya Wageni waalikwa wakila na kunywa wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa Duka hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Dicky Chain mzee wa kujipekecha

    ReplyDelete
  2. Ahahaaaa Dick Chen haupitwi naona kila kijishughuli up mpaka Vidie ya "Mbagala " upo.

    ReplyDelete
  3. Picha ya kwanza, mrembo wa kulia in nyekundu, naomba nitambulishwe tafadhali. Macho jamani, binti ameumbika Mashallah.

    ReplyDelete
  4. Hicho kichwa na nywele ni big noooo

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...