Home
Unlabelled
Twanga pepeta wavamia serengeti Freight Forwarders wazee wa kazi, watangaza makubwa Ijumaa Milton Keynes
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Bwana michuzi ningependa kukushukuru sana kwa video hiii kwanza muziki ni mzuri namashairi ni mazuri na vyombo vimepigwa vizuri recording ni nzuri sana pamoja na makosa kidigo yaliyo fanywa kweny recording yaani ni ya kitaalamu, nimeisikia vizuri sana na pia nikamsukumia Maestro Diblo dibala kwenye face book MAJIBU NI HAYA VERY GOOD VERY GOOD I LOVE THIS SONG AMEWASIFU WAPIGAVYOMBO NA WAIMBAJI HAO VIJANA WENYE SAUTI NA PIA MARAPA PIA AMESEMAMPIGA SOLO NI MZURI SANA ILA KOSA NI HAPA NYIMBO NI NDEFU SANA, NAMI KAMA enginia wa mambo ya muziki nawapa pongezi Twanga hapa mlipofika ni mbali muongeze juuhudi ila hongera sana nawapa grade 1.
ReplyDeleteyosef Esq
wanaharakati wa haki za wanawake na watoto mnasemaji kuhusu mambo hayo kideoni?
ReplyDeletejamani mbona DIOFF hayupo. Bendi haijakamilika hata wengine hatuji sasa nani ataye tuchezesha. Hamna Greyson semsekwa wala Dioff asa ndo nini.
ReplyDelete