1. Kocha Bora wa timu za wanawake ni Norio Sasaki wa timu ya wanawake ya Japan


2. Kocha bora wa timu za Wanaume ni Pep Guardiola wa Barcelona


3. Chama kilichoshinda tuzo ya Fifa pair play Award ni Chama cha Soka cha Japan


4. Mfungaji wa Magoli bora duniani aliyebeba tuzo ya FIFA Puskas Awards ni 
Neimar


5. Tuzo ya mcheza kandanda bora wa wa kike wa FIFA duniani ni   Iomare Sawa wa Japan


6. Mshindi wa Mchezaji Bora wa  FIFA 2011  Lionel Messi wa Argentina - ikiwa ni mara ya tatu mfululizo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. MESSI namkubali anastahili maana kwa sasa hakuna wa kumfananaisha naye huyo Left handed mwenzangu!

    ReplyDelete
  2. Mbona husemi Babu Alex naye alipata tuzo?

    ReplyDelete
  3. Anony hapo juu, si unajua michuzi anashabikia Looserpool

    ReplyDelete
  4. Unazi tu, Alex Ferguson recipient wa Presidential Award.
    Wayne Rooney na Nemanja Vidic ni mojawapo ya wachezaji pekee wa Fifa XI ambao wanatoka Manchester United, na wengine wote ni kutoka Barca na Real Madrid.

    ReplyDelete
  5. Kaka Michuzi, mbona habari ya hapo chini kuhusu kuuzwa kwa Plots/Farms haina sehemu ya maoni? siamini kama umesahau ila unaogopa maoni.Tafadhari usikwapue uhuru wetu wa kuchangia "hoja" kila baada ya issue unayotowekea.

    ReplyDelete
  6. Nasikia Athuman machupa alikuwa wa pili

    ReplyDelete
  7. Kaka michuzi mbona kibabu Feggy hukutoa tuzo yake? au mpaka apate Kenny wa Bwawa la maini? acha hizo kaka yaani chongo kwa mnyamwezi lakini ikiwa kwa mzaramu kazi ya Mungu, duh! hii kiboko

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...