Mtendaji Mkuu wa TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) wakibadilishana hati ya mkataba baada ya kusaini na Mkandarasi kutok a kampuni ya DOTT Services Ltd kutoka Uganda ambae ni Meneja Mkuu kwajili ya kukarabati Mkumbara- Same (96km) utakaogharimu shilingi 128 bilioni za kitanzania, leo jijini Dar es Salaam-Picha na Mwanakombo Jumaa-MALEZO.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale (kushoto) pamoja na Mkandarasi kutoka ya DOTT Services Ltd kutoka Uganda ambae ni Meneja Mkuu Bw.G,Prudhvi Raj wakiwekeana saini mkataba wa ukarabati wa ujenzi wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same leo jijini Dar es Salaam, Mradi huo utagharimu zaidi ya shilingi 128 bilioni. ambapo kampuni hii itakarabati kapande cha Mkumbara- Same (96 km) kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 65 za kitanzania.
Makamo Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu na Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki Anne Kilango Malecela (kulia) akishukuru katika hafla hiyo ya mradi wa ukarabati wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- same (km 172) ambayo utagharimu zaidi ya shilingi 128 bilioni za kitanzania, hafla hiyo imefanyika leo jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Waziri wa Ujenzi Dk, John Magufuli ((pichani hayupo) na (kushoto) ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo Balozi Herbert Mrango,
Waziri Magufuli (kulia) akiteta na Mhandisi John Ndunguru (kulia) katika hafla hiyo
Baadhi ya wakandarasi wakiwa katika hafla ya kusaini mikataba ya mradi wa ukarabati wa barabara ya Korogwe- Mkumbara- Same.
Je Mh Waziri kalisoma hilo kabrasha? Isija akaacha "small print", maana hao watu wajanja!!
ReplyDeleteYale yale ya barabara ya Kilwa kwenda Mbagala mwaka 2008-2009!
ReplyDeleteJamani Wahindi ni wacheza Sinema tu, tena sinema za mapenzi na kulia lia ,sio sinema za vita....mambo ya barabara na Ujenzi toka lini?
Nadhani kuna makosa kidogo ya kimaandishi manake kama mradi mzima wa korogwe hadi same (172km)gharama ni 12bil/= inakuwaje 96km zigharimu 65bil/=?
ReplyDeleteHuyo Mhe Mbunge hapo anaimba ngonjera nini? Hongerea Magufuli na Hongera awamu ya nne.
ReplyDeleteMwenyekiti wa kamati Miundombinu anapeleka mradi kwao. Oyeee.
ReplyDelete