Dr. Steven Boniface Mwakalinga Mtanzania anaeishi Copenhagen, Nchini Denmark akamata Nondo ya PHD katika Malaria Vaccine Development kutoka Copenhagen University faculty of medical and Health Sciences.
Home
Unlabelled
DR. STEVEN BONIFACE MWAKALINGA AKAMATA NONDOOZZ
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hongera Bony. Wewe ni myambala kweli kweli.
ReplyDeleteHongera kijana wa Mkwawa enzi za Mgohamwende!
ReplyDeletehongera sana Steve (Dr. PhD), Gashle (MASS 1990 -1993)
ReplyDeleteHongera sana mkuu.
ReplyDeleteDavid V
Copenhagen hakuna mbu, rudi bongo ukaimalize malaria!
ReplyDeletedogo rudi sasa bongo tukupige 10,000 posho kwa siku ndio utajua utamu wa kusoma bongo.
ReplyDeleteHongera, lakini mrudi nyumbani. Inasikitisha wasomi kuhamia majuu. Njoo usaidie ndugu zako huku ndio kuna Malaria. Tunajua mishahara mibovu ndio inawakimbiza, basi njoo ugombee ubunge maana sasa hivi kila msomi anaona ni bora kuwa Mbunge, maana wao tu ndio wanaolipwa na kukopeshwa vizuri.
ReplyDelete