Katika jitihada za kuunga serikali mkono kwenye kuhakikisha kuwa Watanzania wote wanapata huduma za afya salama kwa ukaribu na ya salama, Dr. Ole Lengine, Mtaalamu Daktari wa Binadamu aliyebobea kwenye afya ya viungo Muhimu, yaani Pua, Macho na Kinywa , amepanua dispensary yake ya Ekenywa iliyopo maeneo ya Mwembechai -Magomeni, jijini Dar es salaam, kwa kufungua kikwangua anga cha ghorofa Tatu.
Kwa sasa Hospitali hii ina uwezo wa kulaza wagonjwa zaidi ya 50. Pamoja na huduma ya utaalamu nguli ya macho , pua na kinywa, pia huduma zingine za afya zinatolewa kwenye hospitali hii.
Kama ni Mtaalamu wa ENT ambayo ni Ears Nose and Throat kiswahili ni Masikio, Pua na Koo na si Macho Pua na Kinywa, E stands for Ears not Eyes Mtaalamu wa macho ni Ophthalmologists au opticians
ReplyDeleteNi wapi wameandika ENT? Nisahihishe kama nimekosea kusoma kwani sioni hoja inapotokea
DeleteKu-'ekenywa' ndio kufanywa nini??? Jina ni sehemu muhimu ya any kind of business undertaking. Mwezi huu mta'ekenya' wangapi?
ReplyDeleteEnkenywa ni neno la kimasai lenye maana ya kumekucha au kumepambazuka!
ReplyDelete