Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda (kati) akielekea katika uzinduzi kulia kwake ni Mke wa makamu Rais Zakia Bilal na kushoto ni mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA) Mama Anna Bayi
Mke wa Waziri mkuu mama Tunu Pinda akikagua timu ya netiboli ikiwa ni ishara ya uzinduzi mchezo huo wa neti boli ligi daraja la pili nyuma yake ni mke wa Makamu wa Rais Mama Zakia Bilali uzinduzi huo ulifanyika katika viwanja vya sigara changombe jijini Dar es salaam
Mama Kimei akiongea wakati wa kuichangia timu ya Taifa netiboli. Harambee hiyo iliongozwa na mama Tunu Pinda ambapo walichangia sh milioni sita. Picha na mdau Chris Mfinanga
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...