Mjumbe wa NEC wa CCM,Mh. Abdulrahman Kinana (katikati),Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick (wa pili kulia) wakiwa pamoja na viongozi mbali mbali wa CCM mkoa wa Dar es Salaam wakishiriki Matembezi maalum ya maadhimisho ya Miaka 35 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi ambayo kilele chake kimefanyika jijini Mwanza na Rais Jakaya Kikwete ndie alikuwa mgeni rasmi.
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mh. Said Meck Sadick akipeana mkono na Mjumbe wa NEC wa CCM,Mh. Abdulrahman Kinana mara baada ya kumaliza kutoa hotuba yake leo kwenye viwanja vya Buguruni jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...